Usawiri wa Wanaume katika Methali za Kijinsia za Jamii ya Wanyankole

Mtazamo wa Ubabe-Dume

Authors

  • Arinaitwe Annensia Chuo Kikuu cha Moi Author
  • Mosol Kandagor Chuo Kikuu cha Moi Author
  • Magdaline Wafula Chuo Kikuu cha Moi Author

Keywords:

Usawiri, Methali, Kijinsia, Uwezo-Uume

Abstract

Makala haya yamechunguza namna wanaume wanavyosawiriwa katika methali za kijinsia, zinavyoweza kujitokeza katika miktadha tofauti ndani ya jamii ya Wanyankole. Mkabala wa kinadharia uliotumika katika uhakiki na uchanganuzi wa data ni nadharia ya Uwezo-Uume. Makala haya yalichunguza na kuhakiki methali za kijinsia katika jamii ya Wanyankole zilizoegemea jinsia ya kiume. Matokeo ya utafiti huu yalibainisha kwamba, jamii ya Wanyankole imekuwa ikitumia methali za kijinsia katika shughuli zake tofauti. Makala haya yamepambanua miktadha za jamii ya Wanyankole zinazoathiri usawiri wa wanaume. Miktadha hizi ni kama ni pamoja na ndoa, utamaduni, malezi na maadili, elimu, uchumi, na uongozi. Mwisho makala haya imebainisha namna na sababu ambavyo methali hizi za kijinsia zilivyowasawiri wanaume katika jamii ya Wanyankole.

Downloads

Published

30-09-2022

Issue

Section

Articles

How to Cite

Usawiri wa Wanaume katika Methali za Kijinsia za Jamii ya Wanyankole: Mtazamo wa Ubabe-Dume. (2022). Mwanga Wa Lugha, 7(2), 57-66. https://journals.mu.ac.ke/index.php/mwl/article/view/281

Most read articles by the same author(s)

1 2 > >> 

Similar Articles

21-30 of 39

You may also start an advanced similarity search for this article.