About the Journal

Mwanga wa Lugha ni jarida la Idara ya Kiswahili na lugha nyingine za Kiafrika katika Chuo Kikuu cha Moi, Eldoret-Kenya. Jarida hili huchapisha makala za lugha, isimu na fasihi. Aidha, jarida hili huchapishwa mara mbili kwa mwaka, yaani Aprili na Septemba.

jaridalamwangawalugha@mu.ac.ke na jaridalamwangawalugha@gmail.com 

.

Current Issue

Vol. 10 No. 1 (2025)
					View Vol. 10 No. 1 (2025)
Published: 23-08-2025

Articles

View All Issues