About the Journal
Mwanga wa Lugha ni jarida la Idara ya Kiswahili na lugha nyingine za Kiafrika katika Chuo Kikuu cha Moi, Eldoret-Kenya. Jarida hili huchapisha makala za lugha, isimu na fasihi. Aidha, jarida hili huchapishwa mara mbili kwa mwaka, yaani Aprili na Septemba.
jaridalamwangawalugha@mu.ac.ke na jaridalamwangawalugha@gmail.com
.
Current Issue
Vol. 10 No. 1 (2025)

Published:
23-08-2025